Saturday, April 11, 2015

TPSC DAR >> TANGAZO LA TAREHE 09/04/2015 KWA WANAFUNZI WA MWAKA WAKANZA



TANGAZO
KUTOKA:      SELIKALI YA WANAFUNZI (TAPSSO)
KWENDA:      WANAFUNZI WOTE WA WAPYA WA NGAZI YA CHETI MUHULA WA   KWANZA(1)
TAREHE:         09/04/2014
YAH:                VITAMBULISHO

WANAFUNZI WOTE WAPYA WA NGAZI YA CHETI MJIANDAE KWAAJILI YA ZOEZI LA KUPIGA PICHA KWA AJILI YA VITAMBULISHO.
ZOEZI LA KUPIGA PICHA LITA ANZA SIKU YA JUMATATU TAREHE 13/04/2015 TAWI LA MSIMBAZI CENTRE.
KWA WALE WA MAGOGONI (MAIN CAMPUS) WATAPIGWA PICHA MAIN CAMPUS KWA TAREHE WATAKAYO TANGAZIWA BAADA YA KUMALIZA MSIMBAZI CENTRE.
KILA MWANAFUNZI ATA PIGWA PICHA KULINGANA NA SHIFTI YAKE.
WANAFUNZI MNAOMBA MSIKOSE KWASABABU NIMUHIM NA MZINGATIE MUDA NA KWAWATAKAO KOSA MUDA HUU ULIO PANGWA HAMTAPATA MUDA MWINGINE. HIVYO ITA PELEKEA KUKOSA KUFANYA MITIHANI.

…………………………………
REHEMA  A. MBONDE
WAZIRI WA HABARI NA MAWASILIANO (TAPPSO)

No comments:

Post a Comment